Story Tellers TZ
Story Tellers TZ
  • 657
  • 9 529 285

Відео

CHAMA BORA KULIKO PACOME | ANAIKWAMISHA SIMBA | YEYE NI MOJA YA SABABU YA SIMBA KUTOFANYA VIZURI
Переглядів 2,8 тис.День тому
CHAMA BORA KULIKO PACOME | ANAIKWAMISHA SIMBA | YEYE NI MOJA YA SABABU YA SIMBA KUTOFANYA VIZURI
MANGUNGU AMEJIBU KUJIUZULU, MANZOKI, NGUVU YAKE KWA MO, SIMBA KUDAI UWANJA WAO JANGWANI
Переглядів 21 тис.День тому
MANGUNGU AMEJIBU KUJIUZULU, MANZOKI, NGUVU YAKE KWA MO, SIMBA KUDAI UWANJA WAO JANGWANI
MANGUNGU: KUHUSU LAWI SITAKI KUINGIA KWENYE SIASA ZA MIGOGORO YA WACHEZAJI, SIMU YA SIMBA NA CAOSTAL
Переглядів 12 тис.День тому
MANGUNGU: KUHUSU LAWI SITAKI KUINGIA KWENYE SIASA ZA MIGOGORO YA WACHEZAJI, SIMU YA SIMBA NA CAOSTAL
TRY AGAIN HAJAJIUZULU KWA HIARI, MO NA SALIM WALITOFAUTIANA KWENYE UCHAGUZI, TIMU IKAWAGANYIKA
Переглядів 55414 днів тому
TRY AGAIN HAJAJIUZULU KWA HIARI, MO NA SALIM WALITOFAUTIANA KWENYE UCHAGUZI, TIMU IKAWAGANYIKA
JEMEDARI: MASHABIKI WA YANGA ACHENI KUTUKANA WATU, CHANGIENI KLABU YENU
Переглядів 90321 день тому
JEMEDARI: MASHABIKI WA YANGA ACHENI KUTUKANA WATU, CHANGIENI KLABU YENU
MO KUJIMILIKISHA SIMBA! | ANAWAKOPESHA FEDHA | SIMBA HAITOKALIKA | KUHUSU KUCHANGISHA UWANJA
Переглядів 12 тис.21 день тому
MO KUJIMILIKISHA SIMBA! | ANAWAKOPESHA FEDHA | SIMBA HAITOKALIKA | KUHUSU KUCHANGISHA UWANJA
BENCHIKHA DALALI! KAMTOA PHIRI NA BALEKE KAMLETA JOBE NA SARR | GAMONDI KWA SIMBA | MO AJIUZULU
Переглядів 1,5 тис.21 день тому
Yanayoendelea Simba Sc
ALLY KAMWE AOMBE RADHI KWA KUDHIHAKI LIGI KUU | NI NDONDO CUP
Переглядів 1,2 тис.21 день тому
ALLY KAMWE AOMBE RADHI KWA KUDHIHAKI LIGI KUU | NI NDONDO CUP
GAMONDI KUONDOKA YANGA!, UONGOZI UNA CHANGAMOTO, HAWAMTAKI, KLABU KUBWA ZINAMTAKA, AENDE SIMBA SC
Переглядів 3,3 тис.28 днів тому
GAMONDI KUONDOKA YANGA!, UONGOZI UNA CHANGAMOTO, HAWAMTAKI, KLABU KUBWA ZINAMTAKA, AENDE SIMBA SC
SPORTS HQ: FEI KUWAZIBA MIDOMO YANGA, KIPA WA AZAM MAN OF THE MATCH, RED CARD KWA JOB!
Переглядів 3 тис.28 днів тому
SPORTS HQ: FEI KUWAZIBA MIDOMO YANGA, KIPA WA AZAM MAN OF THE MATCH, RED CARD KWA JOB!
WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI MGOGORO WA ARDHI ARUSHA
Переглядів 605Місяць тому
WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI MGOGORO WA ARDHI ARUSHA
NYUKI WANAONGEZA UUME | WAKIKUUMA NI TIBA 😂
Переглядів 130Місяць тому
NYUKI WANAONGEZA UUME | WAKIKUUMA NI TIBA 😂
JEMEDARI: WATANZANIA WASHAMBA | NIMEKAA NA VIONGOZI SIMBA YANGA NA AZAM KUNA USHAMBA
Переглядів 2,4 тис.Місяць тому
JEMEDARI: WATANZANIA WASHAMBA | NIMEKAA NA VIONGOZI SIMBA YANGA NA AZAM KUNA USHAMBA
KUNA JAJI ANAMSAIDIA TAPELI WA ARDHI : SILAA
Переглядів 1,1 тис.Місяць тому
KUNA JAJI ANAMSAIDIA TAPELI WA ARDHI : SILAA
MWAMPOSA ALIVYOTINGA KWA HARMONIZE
Переглядів 536Місяць тому
MWAMPOSA ALIVYOTINGA KWA HARMONIZE
UTAPENDA HARMONIZE ALIVYOMUINUA RAIS SAMIA KWA WIMBO HUU
Переглядів 669Місяць тому
UTAPENDA HARMONIZE ALIVYOMUINUA RAIS SAMIA KWA WIMBO HUU
SAHAU KUMUONA INONGA SIMBA | HAYA NI MATITIZO YALIYOIKWAMISHA SIMBA
Переглядів 1,5 тис.Місяць тому
SAHAU KUMUONA INONGA SIMBA | HAYA NI MATITIZO YALIYOIKWAMISHA SIMBA
GEOF LEAH AMPINGA GAMONDI | KWA KAULI YAKE YA HAJAWAHI KUWA NA TIMU BORA KAMA YANGA
Переглядів 2,2 тис.Місяць тому
GEOF LEAH AMPINGA GAMONDI | KWA KAULI YAKE YA HAJAWAHI KUWA NA TIMU BORA KAMA YANGA
MZE WA JAMBA AJITETEA ' SHUGHULI YA YANGA IMEISHIA HAPA' ILITUMIKA KUWAJENGA ZAIDI
Переглядів 18 тис.Місяць тому
MZE WA JAMBA AJITETEA ' SHUGHULI YA YANGA IMEISHIA HAPA' ILITUMIKA KUWAJENGA ZAIDI
JEMEDARI: DIARA KIPA BORA ZAIDI KWA MIAKA KUMI YA LIGI YA TANZANIA | AMEMPIKU MANULA
Переглядів 16 тис.Місяць тому
JEMEDARI: DIARA KIPA BORA ZAIDI KWA MIAKA KUMI YA LIGI YA TANZANIA | AMEMPIKU MANULA
NANI ANASTAHILI KUWA MVP? AZIZ KI AU FEI TOTO? | MJADALA MZITO TAKWIMU ZIKIFUNGANA
Переглядів 2,6 тис.Місяць тому
NANI ANASTAHILI KUWA MVP? AZIZ KI AU FEI TOTO? | MJADALA MZITO TAKWIMU ZIKIFUNGANA
GUEDE GUMZO IVORY COAST, YANGA KUCHEZA FAINALI AFRICAN FOOTBALL LEAGUE
Переглядів 17 тис.Місяць тому
GUEDE GUMZO IVORY COAST, YANGA KUCHEZA FAINALI AFRICAN FOOTBALL LEAGUE
KIBU KAGOMA KUSAINI SIMBA SC, KUNA KLABU DSM INAMTAKA
Переглядів 14 тис.2 місяці тому
KIBU KAGOMA KUSAINI SIMBA SC, KUNA KLABU DSM INAMTAKA
JEMEDARI AWAKINGIA KIFUA YANGA KUFUNGIWA KUSAJILI ASEMA SIMBA WAPO HATARINI PIA
Переглядів 7 тис.2 місяці тому
JEMEDARI AWAKINGIA KIFUA YANGA KUFUNGIWA KUSAJILI ASEMA SIMBA WAPO HATARINI PIA
😂 MUUZA MADAFU IKULU NI KOMANDO
Переглядів 1,9 тис.2 місяці тому
😂 MUUZA MADAFU IKULU NI KOMANDO
YANGA HAWANA UBORA KUIZIDI SIMBA | BENCHIKA HAKUNA ATAKACHOIACHIA SIMBA | AMEFELI KUISAIDIA SIMBA!
Переглядів 4,8 тис.2 місяці тому
YANGA HAWANA UBORA KUIZIDI SIMBA | BENCHIKA HAKUNA ATAKACHOIACHIA SIMBA | AMEFELI KUISAIDIA SIMBA!
PENATI YA AZIZ KI: YANGA 1-0 SIMBA
Переглядів 1,1 тис.2 місяці тому
PENATI YA AZIZ KI: YANGA 1-0 SIMBA
KAJALA AMUOMBA RADHI P FUNK | WAKUTANA KWENYE BRIDAL SHOWER YA PAULA
Переглядів 2,9 тис.2 місяці тому
KAJALA AMUOMBA RADHI P FUNK | WAKUTANA KWENYE BRIDAL SHOWER YA PAULA
SPORTS HQ: DUBE ANATUA YANGA MZIZE ANAENDA AZAM FC | AZAM WATUMA OFA YA MABADILISHANO
Переглядів 3 тис.2 місяці тому
SPORTS HQ: DUBE ANATUA YANGA MZIZE ANAENDA AZAM FC | AZAM WATUMA OFA YA MABADILISHANO

КОМЕНТАРІ

  • @yohanakiureimoon-mo4py
    @yohanakiureimoon-mo4py День тому

    Hivi huu mtandao inatusaidia je sisi washabiki au watazamaji kwa ukweli gani?maana mara inonga ameuziwa mar chama ni yupi kati yao kashaa toka msimbazi niambieni

  • @HajiJuma-oy1jy
    @HajiJuma-oy1jy 2 дні тому

    Huna mamlaka yakusema bei lkn mamlaka yakuisemea Yanga unayo

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 3 дні тому

    Subirini nikiinunua efm nawapa thank u wawili hapo

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 5 днів тому

    Ahmed uko sawa

  • @Hassanisuleimani
    @Hassanisuleimani 5 днів тому

    Huyo mudi nyie munamuita ahmed mmepooza Hugo akili Hana mayele hakuuzwa na yanga aliuzwa na mamaake au na shemeji yake anae tembea na dadaake

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 6 днів тому

    Mda wa madunduka huu kutamba ligi ikianza mateso mpaka mda wadirisha dogo wanaamkaga tena

  • @wilbertsanze285
    @wilbertsanze285 6 днів тому

    Huyu mzee chizi

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 6 днів тому

    Ats nini utajua mambo ya mayele kweli

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 6 днів тому

    Sasa kwani yanga walimuuza mayele hata jambo la kweli yanga hamlitaki washamba sana nyinyi gongo wazi

  • @mubaraalichiku6089
    @mubaraalichiku6089 6 днів тому

    Ahmed Ali Nakuheshimu lakini msenge, aseme ukweli mbwa koko ww

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 6 днів тому

    Kama yanga hawa kumuuza wewe inakuathiri nini?

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 6 днів тому

    Inonga marehem duuuu

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d 7 днів тому

    Mayele alikua yanga kwa mkopo

  • @gabrielgwawu4026
    @gabrielgwawu4026 8 днів тому

    Chizi chizi tu. Na badoooo.!! YANGA BINGWAAAAAA TENA NA TENAAA

  • @HalidiKilale-d2n
    @HalidiKilale-d2n 8 днів тому

    Semaji la visemaji Sauti ya jogoo akiwika Hadi vijiji vya jirani wanaskia sauti.

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 8 днів тому

    MAYELE ALIUZWA NA SIMBA BASI

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 8 днів тому

    Mkataba umeisha unasemaje mmemuuza...hii klabu ni uongo uongo tuuu

  • @AbrahamanHussein
    @AbrahamanHussein 8 днів тому

    Huyo ahemed ni mpumbavu kazoea kuwadanganya makolo anawaina wote

  • @MusaAli-gl1ue
    @MusaAli-gl1ue 8 днів тому

    Inawaumaaa wakisikia sauti ya Ahmed

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 8 днів тому

    Wewe ndio semaji la caf simba nguvu moja

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 8 днів тому

      Nguvu Moja huku mkiteseka nyeee ni Hoya Hoya kweli

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 8 днів тому

    Waandishi na ninyi wachambuzi,kfk hilo jibu lake huyo comedian(siyo msemaji wa simba)muulizeni swali dogo tu, ambalo halihitaji elimu ya chuo kikuu. ATS ya Mayele ilitoka klabu gani wakati anakwenda Plamidy?

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 8 днів тому

    Semaji la wasemaji handsome boy wetu huyooo wanaonuna wacha wanune tupa kuleeeee!

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 8 днів тому

    😂😂😂😂 oruma maswal yote yameyayuka baada .......bila d 2 huwez kuelewa

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 8 днів тому

    Semajiii wakeereeee wenye vifukunyuku

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 8 днів тому

    Huyu msemaji 😂😂😂😂

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 8 днів тому

    😂😂😂 alomuona oruma anajichekesha akicheka kinafiki 😂😂😂😂,

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 8 днів тому

    Huyu ni msemaji sahihi kwa klabu yetu. Msemaji huwa hakurupuki

  • @user-lj8jp9dc9l
    @user-lj8jp9dc9l 8 днів тому

    Wee jibu la inonga ya mayele hayakuhusu. Hivi huo fara walimchaguaje kuwa msemaji.

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 8 днів тому

    Wachambuzi wanaididimiza Simba. Media za Tanzania za michezo ni shabiki, Umuhimu inaopewa Simba inaufanya uoncozi wa Simba kufikiria timu yao ipo sawa na kutofanya vitu vinavyotakiwa kuiimarisha. Sasa hivi Simba ni timu ya tatu. Wachambuzi mungeisaidia timu kama Azamu na Yanga kuangalia ni jinsi gani wanatakiwa kujiimarisha kugomba ubingwa wa Afrika. Suala la kusajili Timu bila mwalimu sijui inamantiki gani! Haya hamchumbui!

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 8 днів тому

    Huyu msemaji ni komediani sana sasa watu wanakuliza yeye analeta mzaa kweli simba mjitahidi kutafuta wasemaji Wenyeweredi

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 8 днів тому

    Wewe ahmedy ally ni matako kabisa Sasa una mamlaka Gani ya kusema mayere hakuuzwa na yanga wakati hukushiriki kumsajiri hapo umenihudhi pakubwa

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 8 днів тому

    SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 8 днів тому

    Sasa wewe unauliza bei YA mchezaji ili wewe iweje? Acha kuichokonoa Simba

  • @CharleslKomba
    @CharleslKomba 8 днів тому

    Chama awezi kuondoka labda rasta

  • @shijamusilikale4731
    @shijamusilikale4731 9 днів тому

    Wewe ni nyoko sana wewe siyo kiongozi wa mpira acahia ngazi

  • @shijamusilikale4731
    @shijamusilikale4731 9 днів тому

    We ni mpumbafu

  • @Sherrymwinyi
    @Sherrymwinyi 9 днів тому

    wamekuchakua wanachama wachache tu

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 9 днів тому

    Oruma umekuwa msemaji wa simba

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 9 днів тому

      😂😂😂 wanaumia wengiii na Ubuntu botho....

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 9 днів тому

      Oruma 😂😂🤣 anapata maumivu makalii sanaaa

  • @HamamyMohd
    @HamamyMohd 9 днів тому

    Aende tu,kwanza anashawishi wachezaji wakose heshima na morali ya timu.......Simba nguvu moja❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-ib2ew9ec3d
    @user-ib2ew9ec3d 9 днів тому

    Aondoke kwanza yeye nani kaondoka med kagere mk 14 chama ndonani atembeetu hakuna Alie fikia magoli ya med had leo

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 9 днів тому

    Chama alikosa mechi nyingi aliposimamishwa.

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 9 днів тому

    Paccome iz far batter than chama even chama knows the truth.....refer msimu wa kwanza wa chama then compare na msimu wa kwanza wa pacome ...then linganisha na game walizocheza ....maana oruma unataja takwimu kwa ku favor upande flan 😂😂😂 , tatizo la madunduka kuamini kwamba hakuna mchezaji mzuri yanga zaidi ya chamade ...... 😂

  • @damasiliduke6649
    @damasiliduke6649 10 днів тому

    Mtazamo wangu ni style ya Simba Kushughulikia usajili, binafsi naona lengo la Simba ni kutafuta popularity wakati huu wakati hawafanyi usajili wa maana. Mbinu zile zile za misimu mi2 iliyopita. Misimu yote hiyo tumesajili bila kocha, tumeondoa wachezaji wengi Bora tunasajili wenye viwango duni. Hata msimu huu tusitarajie maajabu mkubwa kwa mbinu hizi.

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 10 днів тому

    Ngungu boy piga kazi achana nao ata mitume walipingwa na watu wao Waache waseme jeshi la mtu mmoja

  • @selemwenda690
    @selemwenda690 10 днів тому

    We mzee mangungu tupishe tuu umli wako na uongo ni vitu viwili tofauti sana ulimleta manzoki kwenye kampeni zako ni muongo huwezi toka zako huna maana simba hapo na hujitambui tuu jiuzulu ondoka ondoka umetutesa kwa uongo wako nikipita namleta manzoki yuko wapi toka zako huko!!

  • @user-hl6ev3sg1p
    @user-hl6ev3sg1p 10 днів тому

    Huyu jamaa ni mbishi sana, na hajui kujieleza, si mzungumzaji mzuri, hajui kujenga hoja.

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 10 днів тому

    Wewe ni mganga wa kienyeji sio kiongozi

  • @user-yq2iu4uh5z
    @user-yq2iu4uh5z 11 днів тому

    Akuna aliekuchagua acha shobo

  • @kabazitv4293
    @kabazitv4293 11 днів тому

    Huyu mangungu ni bonge la kiongonzi tutamkumbuka akiondoka, sikiliza hata jinsi anajibu maswali anaona anajua nin anafanya, wengi wanaotak ajiuzuri ikiwasikiliza hawa hoja za msingi shz wanasem kisa alimleta manzoki kwenye uchaguzi wakampa kura mjinga hapo nani, mchezaji mmoja ndo akusabishe umpe mtu kura??? Unampa mtu kura kulingana na hoja zake, kwan manzoki ilikuw ni sehem za hoja zake???

  • @EmanuelChilumba
    @EmanuelChilumba 11 днів тому

    Unatusliti bro